Monday, 11 July 2022

Usajili wa wachezaji soka Ulaya

Hapa utaona dondoo za usajili kutoka  maeneo mbalimbali Ulaya.


Arsenal inachuana na Manchester United katika harakati za kumsajili kiungo wa Chelsea na Ufaransa N'Golo Kante (31).



Kiungo wa Barcelona na Hispania Sergio Busquets (33) anasakwa na vilabu kadhaa vya ligi ya Marekani MLS ili kujiunga navyo msimu ujao.


Chelsea inataka £7m kutoka kwa Barcelona kwa ajili ya mlinzi wake mhispania Cesar Azpilicueta (32)  ambaye ameshakubaliana  kuhusu maslahi binafsi na klabu hiyo ya Catalan.


Arsenal na Newcastle zinamtaka kiungo mshambuliaji wa Lyon na Brazil Lucas Paqueta lakini ada ya 65m euros inayotakiwa na wafaransa hao kwa ajili ya nyota huyo mwenye miaka (24).

Arsenal iko kwenye mazungumzo na Benfica baada ya kupeleka ofa ya £6.4m kwa ajili ya kumsajili beki wa kushoto mhispania Alex Grimaldo (26).



Chelsea wanajiandaa kukubaliana na ada wanayotaka Napoli ya £34m kwa ajili ya mlinzi wake wa kati raia wa Senegal Kalidou Koulibaly (31).


Bayern Munich inamsaka mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane (28) kama mbadala wa Robert Lewandowski (33) kutoka Poland anayetaka kuachana na mabingwa hao wa Bundesliga msimu huu.


Chelsea na Paris St-Germain nazo zitaingia kwenye mbio za kutaka saini ya  Lewandowski kama itashindikana kujiunga na Barcelona.


Barcelona wanaamini watamsajili kiungo mreno Bernardo Silva (27) kutoka Manchester City.


Labels:

Sunday, 10 July 2022

Akpan asajiliwa Simba Sc

Kiungo wa katikati ya dimba mwenye uwezo mkubwa wa kuhimili mechi za aina zote. 

Victor Akpan ni 𝗠𝗡𝗬𝗔𝗠𝗔 🦁 #Akpan #NguvuMoja

Labels:

Dispatch clerk II Simba Cement Plc New Vacancy

Simba Cement PLC (the Tanga Cement Company Limited) has the capacity to produce more than 1.25 million tonnes of Simba cement and more than 1.25 million tonnes of clinker. 

The primary raw material, limestone, is located at the plant site. The Company completed second largest expansion project by installing kiln number two. The first expansion project by the company involved installation of cement mill number two and packer III. Tanga Cement Company’s manufacturing facilities are ISO 9001: certified. Simba cement products are produced in accordance with Tanzania Cement Standard TZS 721-1: which is equivalent to East African standard for cement EAS 18-1: and European Standard for cement EN 197-1. Tanga Cement PLC is located about 15 kilometre from Tanga city centre. The company is incorporated in Tanzania under the Tanzanian companies Act 2002 as a public company limited by shares. Our Vision. To be the East Africa’s preferred cement manufacturer and distributor. Our Mission. To develop, produce and distribute consistently high quality cement and related products and services in a sustainable manner to satisfy our customers’ expectations.


The company is looking to hire individuals to fill a new vacant position.  Read full details from the PDF Document below.


CLICK HERE


Labels:

Saturday, 9 July 2022

Kyombo rasmi atua Simba

 HATIMAYE, Simba imepata saini ya aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya Kwanza, Habib Kyombo kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kutokea sintofahamu hapo awali.

Awali nyota huyo alidaiwa kusaini timu mbili tofauti akianza na wageni wa Ligi Kuu Bara Singida Big Stars kisha kuvunja mkataba kwa makubaliano ya pande mbili baada ya kukubali dili jipya la kujiunga na Simba.


Wakati akiitumikia Mbeya Kwanza katika msimu ulioisha Juni 29, mwaka huu staa huyo alifunga mabao sita ya Ligi Kuu Bara katika mechi 15 alizocheza na kikosi hicho ambacho  kimeshuka daraja baada ya matokeo mabovu.


Huu ni usajili wa kwanza Simba kwa wachezaji wazawa msimu huu baada ya ule wa Moses Phiri raia wa Zambia aliyejiunga na miamba hiyo Juni 15 akitokea klabu ya Zanaco ya huko nchini kwao Zambia.


Mbali na Usajili huo kuna nyota wengine wanaosadikika wamejiunga na miamba hiyo ni Victor Akpan kutoka Coastal Union, Cesar Manzoki (Vipers FC), Nelson Okwa (Rivers United) na Augustine Okrah aliyetokea Asante Kotoko.


Labels:

Friday, 8 July 2022

Sepp Blatter na Michel Platini wafutiwa mashtaka ya ulaghai na mahakama ya Uswizi

Sepp Blatter na Michel Platini wafutiwa mashtaka ya ulaghai na mahakama ya Uswizi.

  • Wawili hao waliachiliwa huru kwa shtuma ya kufanya malipo ya faranga za Uswizi milioni 2 yaliyofanywa mwaka 2011.
  • Malipo yaliyofanywa kwa Platini kwa huduma za ushauri za Fifa.


Sepp Blatter na Michel Platini wamefutiwa mashtaka ya ulaghai katika mahakama ya Uswizi. 


Wanaume hao wawili, waliokuwa miongoni mwa vigogo wa soka, waliachiliwa huru kwa kupanga malipo ya faranga milioni mbili za Uswizi (£1.7m) kinyume cha sheria mwaka 2011. Wakati huo, Platini alikuwa rais wa Uefa na makamu wa rais wa Fifa na alitarajiwa kumrithi Blatter kama rais wa Fifa, shirikisho la soka duniani.


Malipo kwa Platini kwa huduma za ushauri katika muhula wa kwanza wa Blatter kama rais, kuanzia 1998 hadi 2002, yaliidhinishwa na Blatter Januari 2011 lakini yakaishia kumaliza kazi za wanaume katika soka.


 Waendesha mashtaka wa Uswizi walikuwa wameiambia mahakama huko Bellinzona kwamba "ilifanyika bila msingi wa kisheria" na "ilimtajirisha Platini isivyo halali" lakini hakimu katika kesi yao aliwakuta hawana hatia. Platini sasa atarejeshewa CHF 2m yake. 


Kamati ya maadili ya Fifa ilikuwa imewapiga marufuku kujihusisha na soka na kuwaondoa madarakani, na Blatter na Platini walipeleka kesi zao kwa kamati ya rufaa ya Fifa bila mafanikio na baadaye katika rufaa tofauti kwa mahakama ya usuluhishi wa masuala ya michezo.


#soma zaidi HAPA


Labels:

CAG Kichere naye alia na Tume ya uchaguzi ifumuliwe

Aungana na viongozi wengine, wakiwemo wastaafu, wanaotaka tume ya uchaguzi iwe na watendaji walio huru ili iweze kuaminika.

Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere ameishauri Serikali kuipa nguvu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuajiri watumishi wake watakaoweza kusimamia uchaguzi kwa haki badala ya kuendelea kutegemea waliopo kwenye mfumo wa Serikali.

Mei 10, 2019, Mahakama Kuu ilitoa hukumu ya kubatilisha vifungu vya 7(1) na 7(3) vya sheria ya uchaguzi vinavyowapa mamlaka wakurugenzi wa miji, wilaya, manispaa na majiji kuwa wasimamizi wa uchaguzi kwenye maeneo yao.

Shauri hilo lilifunguliwa na mwanaharakati wa Katiba, Bob Wangwe akishirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).

Hata hivyo, Serikali ilikata rufaa kuipinga hukumu huyo na baadaye Oktoba 2019 Mahakama ya Rufani ikabatilisha uamuzi na hivyo kuruhusu wakurugenzi waendelee kusimamia uchaguzi.

#soma zaidi HAPA











Labels:

Thursday, 7 July 2022

Data Entry Officer Job Opportunity at Norwegian Refugee Council

Job title: Data Entry Officer

Posting Date: 06/07/2022, 15:20

Apply Before: 18/07/2022, 15:20

Degree Level: Three Years College


Job Description

All NRC employees are expected to work in accordance with the organization’s core values: dedication, innovation, inclusivity and accountability. These attitudes and believes shall guide our actions and relationships.


Responsibilities


  • Develop data collection methods and tools to support programs in needs assessment, baseline assessment, output and outcome monitoring and evaluation of the on-going projects.
  • Data management, entry and analysis.
  • Prepare and submit weekly and monthly reports
  • Ensure proper filing of project documents and reports
  • Conduct routine monitoring and follow-up of project activities
  • Other activities agreed and discussed with supervisor
  • Responsible for managing, recording, sharing, following up and consolidating WASH committee feedback about NRC’s WASH interventions
  • Work closely with the program teams, M&E.
  • Responsible for data collection, entry and management.


Qualifications

  • University degree in Social Sciences, Statistics, Information Systems Management, or related qualification.
  • Additional training in data management and information system is an added advantage.
  • At least 3 years of experience in an NGO preferably in humanitarian setting.
  • Good interpersonal skills and ability to collaborate with multiple stakeholders, mainly communities effectively.
  • Ability to receive and handle confidential and sensitive information (highly approachable, trustworthy and confidential)
  • Computer skills, including MS Office (Word, Excel)
  • Fluency in English, both written and verbal
  • Working with people
  • Communicate with impact and respect
  • Ability to work under pressure, independently and with limited supervision
  • Patient, flexible and creative


Duty station: Kibondo-Nduta


Department: WASH-Kibondo. 

Duration and type of contract: 6 months – with possible extension.


Click here to APPLY










Labels:

Ukweli usiopingika alio uandika Roma

Jana Nilitafakari Nikagundua Age Yangu Na Kaka Zangu Wengine Imeenda Sana.



Tunazeeka Sasa, Niliona  Mabantu Kwenye Interview Wanamuita Country Boi Kaka, Halafu Unakuta Mimi Country Ananiita Kaka Pia, Means Mabantu Wataniitaje Mm? Mm Namuita FID Kaka, Mabantu Watamuitaje FID? #Tunazeeka

Labels:

Taarifa kwa UMMA kuhusu ajira ya Sensa

Taarifa kwa umma kuhusu sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022.

Ofisi ya Taifa ya Takwimu imetoa tangazo hili na kulitolea ufafanuzi. Soma zaidi HAPA


Pia Kamisaa wa Sensa Anna Makinda, amesema baadhi ya Watanzania wanapenda uongo kutokana na maneno ya uzushi yanayozagaa mitandaoni kwamba majina ya wasimamizi wa Sensa hayatoki kwa sababu wameweka watoto wao, na kusema majina yakitoka waombaji wote wenye sifa watachukuliwa.


Labels:

Nandy kuja na project mpya

Msanii mwanadada wa kizazi kipya Nandy anatarajia kuachia project yake mpya hivi karibuni.

Baada ya kupost twitter statement hii "tutoe project mpya nimewamiss", wadau walitiririka na kusema project wanaoisubiri ni kwa sasa kutoka kwake ni ndoa.

Unaweza kusoma zaidi comments Bonyeza







Labels:

Timu ya taifa Ghana yafanya usajili

Tariq Lamptey abadili utaifa kutoka Uingereza hadi Ghana.

Chama cha Soka cha Ghana kilithibitisha kuwa beki huyo wa pembeni wa Brighton, ambaye aliiwakilisha Uingereza katika mechi tofauti za vijana na kucheza mara mbili kwa Vijana wa U-21, aliamua kuchezea Black Stars.


Atakuwepo kwenye mchujo kuelekea Kombe la Dunia nchini Qatar, ambapo Ghana itamenyana na Korea Kusini, Ureno na Uruguay katika Kundi D.


"Siku zote tumeshikilia kuwa hatutajiwekea kikomo kwa kikundi kidogo tu cha wachezaji lakini tutasaka vipaji vya juu kote ulimwenguni ambao wako tayari kujitolea kwa ajili ya taifa na kutupeleka kwenye ngazi nyingine," taarifa kutoka Chama cha Soka Ghana ilisema hivyo.


Mchezaji mwingine alie amua kulitumikia taifa hilo ni Inaki Williams anaekipiga kunako Athletic Bilbao inayocheza ligi kuu ya Uhispania (LaLiga).

Labels:

DC Kigoma aagiza uchunguzi ujenzi wa Zahanati

Mkuu wa wilaya ya Kigoma Ester Mahawe ameagiza mamlaka ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Kigoma, kufanya uchunguzi katika mradi wa Zahanati ya kijiji cha Samwa kata ya Kidakhwe wilayani Kigoma kufuatia mradi huo kutumia gharama kubwa na kupitiliza muda wa utekelezaji.




Agizo hilo amelitoa baada ya kamati ya siasa chama cha mapinduzi wilaya ya kigoma kufanya ziara kijijini hapo, ambapo wananchi wamelalamika mradi huo kushidwa kukamilika kwa wakati licha ya kuendelea kukosa huduma za matibabu karibu.

Awali kaimu Mganga Mkuu wa wilaya ya Kigoma Erasto Kitabi alieleza mradi huo kusuasua kutokana na mkandarasi anayesimamia kutokuwa na uhusiano mzuri na kamati ya ujenzi licha ya kupewa fedha zote za mradi kiasi cha shilingi milioni 70.

#source Eatv










Labels:

Christian Eriksen kutua Man United

Mikataba sasa iko tayari kwa Christian Eriksen kusaini na Manchester Utd, kinachosubiriwa ni vipimo tu ndipo itakamilika.

Mkataba wa miaka mitatu umethibitishwa, Eriksen ndiye atakayesajiliwa na United baada ya Tyrell Malacia.

#source Twitter












Labels:

Waziri Mkuu Uingereza ajiuzulu

 Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson amejiuzulu nafasi ya kiongozi wa Chama cha Conservative.


London. Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson amejiuzulu nafasi ya kiongozi wa Chama cha Conservative.


Boris amejiuzulu nafasi hiyo leo Alhamisi Julai 7, 2022 lakini bado atabaki kuwa Waziri Mkuu mapaka chama hicho kitakapopata kiongozi mpya mwezi Oktoba.


Katika hotuba yake, Boris amesema “Nina huzuni kuacha kazi bora zaidi duniani. Ninataka ujue jinsi ninavyohuzunishwa na kuacha kazi bora zaidi duniani,’’


"Nimekubaliana na Sir Graham Brady, mwenyekiti wa wabunge wetu wa viti maalum, kwamba mchakato wa kumchagua kiongozi mpya uanze sasa na ratiba itatangazwa wiki ijayo. Na leo nimeteua Baraza la Mawaziri kuhudumu, pia nitaendelea kuongoza hadi kiongozi mpya atakapochaguliwa.’’


 Amejiuzulu baada ya kuhudumu katika wadhifa huo chini ya miaka mitatu, licha ya kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa 2019. 


Kinachofuatia baada ya kiongozi huyo wa Conservative kujiuzulu, uchaguzi wa kiongozi mpya wa chama unaanzishwa ambapo chini ya sheria za sasa, wagombea wanahitaji kuungwa mkono na wabunge wanane wa chama hicho ili kuwania. 


#Soma zaidi HAPA










Labels:

Raheem Sterling anakaribia kuhamia Chelsea


Chelsea watawasiliana moja kwa moja na Manchester City leo ili kukamilisha dili la Raheem Sterling. Ada karibu ikubaliwe pauni milioni 45 za uhakika pamoja na nyongeza, sawa na Gabriel Jesus kwa Arsenal. 


Masharti ya kibinafsi yalikubaliwa kikamilifu, Tuchel tayari alikuwa na mazungumzo ya moja kwa moja na Sterling. 

#source Twitter

Labels:

Tuesday, 5 July 2022

Your rain season is coming

Nilipokuwa mdogo nilikuwa namuona MAMA akichambua maharage, alikuwa anaweka maharage mazima kwenye sufuria ya kupikia, na maharage mabovu alikuwa anayatoa kisha anayatupa mbali jalalani.!

Chakushangaza.. mvua ikinyesha maharge yale yale mabovu ndio yanakuwa ya kwanza kuota na kuchepua..

Yalitupwa yakiwa mabovu yasiyofaa.. lakini yanaota.. kisha yanatoa maharage mengine mazima na bora zaidi kuliko yalivyotupwa mwanzo yakiwa mabovu.!

Hii imenifanya nijifunze kuwa ni muda/wakati tu utakao amua hatma yako.. Pia jinsi Mungu anavyokuaona ni tofauti kabisa na watu wanavyokuona..

Inawezekana ukaonwa/ukajiona kama maharage mabovu leo.. lakini hakika mvua ya Mungu ikikunyeshea UTAOTA na kuwa wa thamani na KUZAA/KUTENGENEZA WATU WENGINE BORA ZAIDI YA WEWE..

Inahitaji wakati tuu

Uvumilivu..

Na kujua kusudi la Mungu na mawazo ya Mungu ni tofauti na yawanadamu..

USIKATE TAMAA WALA USIVUNJIKE MOYO

YOUR RAIN SEASON IS COMING

Wewe ni bora na unafaa sana..

Kila jambo chini ya jua lina wakati wake haijalishi jinsi ulivyo leo.


Labels:

Act Fast

 

A man can have sex with a lady and still don't have any feelings for her, men only need space to have sex but women need reason to have sex.

A woman cannot have sex without feelings, A man can travel for eight hours 'just to have sex with a female friend and yet, not love her.

Sex makes men act as if they are in love while they are not!

The eight hours travel sacrifice, gifts bought, hotel paid for and other expenses may seem to be coming from true love but they were all in the sacrifice for sex and nothing more.

The foolish thing is this, the majority of women would jump up inside them and conclude that this is the art of true love.

Sex is not an act of commitment. Men still leave the women they sleep with on bed and start thinking of the next woman to sleep with. The satisfaction that comes from sex dies in minutes.

It is in the nature of Lions to go miles to hunt. The same with men. A man who can afford the expenses of flying from the UK to Ghana for sex would do it as if he would never turn to another woman for sex.

Sex drives men to do what seems like the impossible and such turns women around and they start acting weird. Sex and love are not on the same page even in the dictionary.

People can abandon their gold mines and dig the grave for sex. Most young men do terrible things just to have the resources to keep many girls in their life.

You may think they are working hard to live well in the future but they are just living for fun and that is all.

Students are now living together like husbands and wives, and our society calls it love. What kind of people do these students become when they leave school?

This is why we have a lot of frustrated graduates than nation-building graduates.

Today, a 16-year-old girl is already into sex. She wants to wear everything on trend. She is already a prostitute in the sense that any man that comes her way for relationship must show some signs of money and she would respond to him.

The funny thing is this, almost all those girls that have become sex symbols end up in a deep mess. How many of them today is changing the world they are into? What kind of person would they do well within life?

They have sold their selfs out to sex. They pride on what they wear and hotels they go to. That is their biggest achievement. The girls they called cowards are setting up economic empires. Their future is already exhausted when they come to their true senses?

Advice to my beloved brothers and sisters:

For men; never allow your erection today to destroy your future directions, stay positive.

My sisters, all that glitters is not gold, make your future bright and its start today.

I am not posting this to make anyone guilty or stand as a judge. We have to act fast before its too late.

Labels:

Thamini Utu

 


STORI HII INA MENGI YA KUJIFUNZA

Umeenda semina Dodoma, una ndugu yako kule. Unamtaarifu unakuja kumtembelea. Anakuambia karibu sana. Anakuelekeza panda daladala za Chamwino shukia St.Gaspar. Unashuka stendi unamkuta ndugu yako na mkewe na watoto stendi wamekuja kukupokea! Mnatembea kitambo na kufika kwake. Watoto waliobaki home wanakuja ulipokaa, wanakushika kichwani kukusalimia. Wakubwa kidogo wanakuja wanapiga magoti "shikamoo baba mkubwa!".

Wanakuzunguka kuulizia habari za ndugu zao unawasimulia, huyu std 2, huyu std 7, kaka yenu form 2. Ndani kumechangamka kila mtu yuko engaged nawe in one way or another.

Mama anahangaika na msichana kukuandalia chakula. Baada ya muda mke wa mdogo wako anakuja kupiga magoti kukuambia karibu chakula. Unaenda mezani, anakuja kukunawisha mikono huku akisema "tusamehe shemeji mboga zenyewe hivyo hivyo.." Unakula unashiba.

Baadaye unaaga. Nyumba nzima wanafunga, wanakusindikiza hadi kituoni. Watoto wanakuaga, "ba mkubwa msalimie Jerry na Irene. Ukija tena uje nao" Unaondoka kwa heshima zote.

Siku ya siku nduguyo naye kapata kitrip cha Dar. Anakuambia nakuja kukutembelea. Unamwambia tumehamia kwetu Mbezi panda mwendokasi hadi mbezi mwisho. Anafika anakupigia, unasema kuna bodaboda hapo mpe niongee naye. Unaongea na boda "huyo jamaa mlete kwangu geti linatazamana na kituo cha afya cha Mbezi, lina waya za umeme juu".

Anafkishwa. Anagonga kengele, mko ndani familia, unaagiza housegirl, "si mnasikia kengele? Kafungueni geti" Housegirl anaenda kufungua. Ndugu yako anaingia sebleni anawakuta. Anawasalimu unaitikia marahaba, we mkubwa! Mkeo anaangalia tamthilia kakaa chini. Anageuka, karibu shemeji, za siku! "Nzuri". Amemaliza, anaendelea na tamthilia yake.

Wanao wanacheza game kwenye computer hata hawajashituka kuna mtu kaingia. Unawaambia, nyie msalimieni baba yenu mdogo. Wanatupia shikamoo bila hata kumuangalia usoni, game limekolea!

Mnazungumza kigogo, unamuuliza habari ya Dodoma. Kabla hajakujibu unashika simu unaanza kuchat, mke wako naye anachat! Sitting room imejaa watu, lakini kila mtu kama hayupo vile. Mara housegirl anawakaribisha chakula. Mama anapokea "shemeji karibuni chakula"

Unamgeukia mdogo wako unamwambia "aisee we jitegemee, hapa kima mtu anakula kwa wakati wake.!". Mgeni anainuka kwenda kupambana na meza peke yake. Maji ya kunawa hakuna! Bahati nzuri dada wa kazi anakatiza, anaulizwa maji yakunawa, anajibu kanawe pale kwenye "Hw basin" maji yanatoka!

Anaenda kunawa kinyonge. Anakula peke yake, anamliza na kurudi sitting room. Mnaongea issues kidogo za kifamilia na wazazi kijijini. Muda unafika wa ndugu kuaga. Unamwambia subiri kidogo. Unapiga kwa boda boda. Anakuja, unatoa elfu kumi unampa, unamwambia chukua hii utalipa hiyo bodaboda.

Boda inafika, ndugu yako anaaga, unasimama unamtoa hadi mlangoni. Wanafamilia wengine wanaagia sitting room bila kuinuka. Mama bado yupo busy na simu anachat. Watoto game limekolea, hawataki kutoa macho kwenye computer. Ndugu yako anawaaga hata hawamuangalii usoni. Wanatupia kwa mbaali "kwa heri ba mdogo" wanaendelea na game. Ndugu anakamata mchuma na kuondoka.

Wengi tunaoishi mijini tuna maisha ya aina hii, na tunaona ni sawa. Tunajifanya tupo busy kwenye mambo yasiyo na msingi na kupuuza utu wa wengine. Hata watoto wetu tunawalea ktk mazingira ya kuthamini zaidi vitu kuliko utu. Hii si sawa hata kidogo. Tuwatendee wengine kama tunavyotaka kutendewa.

#Thamini Utu

Labels:

Accountant Job Opportunity at Swisscontact Full Time Tanzania

 


Swisscontact – Swiss Foundation for Technical Cooperation is a Swiss non-profit-organisation, which carries out projects aiming at reducing poverty.


Position Type: Full time

Probation Period: 3 months

Number of Positions: one

Location:Eligible Applicants: Morogoro, with occasional travel to other parts of Tanzania

Tanzanian nationals


Application Deadline: 18th July 2022


Background


Skills for Employment (SET) is a Swiss Development Corporation (SDC) supported programme implemented in Tanzania. It aims to improve the employment and employability of youth and young women and mothers through skills development. In strengthening selected skills providers to provide accessibly, demand-driven, and market-oriented agri-training SET supported the Training providers (TPs) to develop innovative and demand-driven courses that have the potential to provide employment or self-employment to youth, young women and young mothers.


Swisscontact is currently looking for an Accountant to be based in Morogoro. Overall responsibility


Under the supervision of the Head of Business Administration, the accountant will be responsible to:


work closely with all staff, suppliers, partners, and vendors with a focus on managing financial resources.

support the team in recurrent financial activities in accordance with internal operational manuals and different guiding policies.


More specifically the accountant will implement the following tasks, in close collaboration with the Business Administration team:


Financial Management


Facilitate preparation of the yearly budget of operation and monthly cash advance requests

Facilitate payments and review accountability for meetings and workshops, submit and reconcile expense reports.

Provide financial support to other staff including reviewing travel budget, expense reports, and maintenance of electronic and paper files.

Check and ensure that all payment vouchers meet the minimum audit requirement

Conduct preparation of payment vouchers, and cheques and ensure timely settlement of all undisputed invoices.

Support preparation of staff payroll, and payments to outsider stakeholders who are

rendering services to Swisscontact and government organizations.

Monitor and reconcile balance accounts on a monthly basis and make sure any outstanding balance has a clear justification

On a monthly basis provides program financial analysis and recommendations

Work with the project staff to ensure programme activities are aligned with the approved budget.

Guide and ensure compliance with relevant regulations such as from Non-Governmental Organisations (NGO) board, country-specific and any other financial obligations such as tax returns and annual Financial Statements

Provide training and support as needed to different stakeholders in areas related to finance and accounting.

Maintain and archive all contracts including annexes for all assigned grants, both electronic and hard copy

Support the Head of Business Administration with organizing audits on a half-yearly and yearly basis according to Head Office instructions.


Other tasks

Perform any other tasks requested by the direct supervisor and Project Manager.

Accountant for Skills for Employment Tanzania (SET) Vacancy at Swisscontact


Qualifications

Minimum of a bachelor’s or higher degree in Accounting or Finance or Business Management;

Accounting certification such as a Certified Public Accountant (CPA), or Association of Chartered Certified

Accountants (ACCA);

Experience building financial tracking and reporting systems including an understanding of accounting software


Professional experience

At least 3 years of related experience managing projects with an international Non- Governmental Organization.


Other knowledge, additional competencies

Strong Microsoft office skills especially in excel and outlook.

Excellent organization skills with a problem-solving attitude

Attention to detail, honesty, integrity and transparency.

Team player and strong interpersonal skills

Excellent verbal, written and organizational skills.


Submission

Interested candidates are invited to submit CVs with a motivation letter/cover letter in English including three (3) referees to recruitment.set@swisscontact.org not later than 17:00 (EAT) on 18 July 2022. The CV and/or the cover letter must include the expected monthly gross salary expressed in TSH.

Labels:

Monday, 4 July 2022