Dodoma Yatajwa Kuongoza Kwa Ugonjwa wa Kipindupindu
Ruvuma imeshika namba 2 kwa kuwa na kesi 374 sawa na 25%, Rukwa na Iringa ikiwa na kesi 276 sawa na 19%.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee imeeleza kuwa Mkoa Manyara ndio wenye idadi ndogo ya wagonjwa wa kipindupindu. Kesi zilizoripotiwa ni asilimia 0.6 tu ya wagonjwa wote nchini.
Labels: HEALTH
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home