Anayetuhumiwa Kumuua Marehemu Radio Aomba Msamaha
![]() |
Baada ya Radio kufariki mtuhumiwa Wamala Godfrey alias Troy anayedaiwa kusababisha kifo cha Radio alikimbia na hakuonekana kwa wiki kadhaa lakini baada ya polisi kuendesha msako wa walifanikiwa kumkamata.
Wamala Godfrey alias Troy amekiri kuwa alisababisha kifo cha Radio na kusema kuwa Radio alimponyoka mikononi mwake na kujipigiza kichwa chake chini wakiwa wanapigana haikuwa lengo lake kumuua na hivyo kuomba msamaha.
Labels: Celebrity
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home