Tuesday, 17 April 2018

Ajira kutoka Jeshi la Polisi Tanzania



Jeshi la Polisi nchini linatangaza nafasi za ajira kwa mwaka 2017/2018 kwa vijana waliopita mafunzo ya JKT/JKU ambao wamemaliza mafunzo ya awali katika operesehi Kikwete na Operesheni Magufuli wenye elimu ya kidato cha nne, cha sita, astashahada, stashahada, shahada ya juu.



Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home