Rais Magufuli afanya uteuzi wa benki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Edmund Bernard Mndolwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Posta Tanzania (TPB).Uteuzi wa Dkt. Mndolwa umeanza leo tarehe 23 Aprili, 2018.Labels: News
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home