Muhubiri Dar afunguka kuhusu kutoza malipo
Muhubiri Dar afunguka kutoza malipo kwa kila anaetaka kuombewa na yeye
![]() |
Phrophet Suguye ameongea na millardayo.com na AyoTV na kusema kilichotokea ni kwamba aliomba Watu wanaokwenda kuombewa nae kuchangia pesa kwa ajili ya kuanzisha TV ya kanisa iitwayo WRM ambayo inapatikana STARTIMES na kwenye AzamTV, hivyo hakulazimisha.
“Nilisema wale wanaotaka kuja kuombewa kwenye ibada kanisani iliku bure kabisa lakini kwa waliotaka kuniona wenyewe ofisini kwangu ndio nilisema wachangie TV, hata hivyo hakuna tena huo utaratibu wa kuchangia TV, hiyo laana ya kutoza watu pesa kwa maombezi sina” – Nicolaus Suguye
Labels: FAITH
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home