Watetezi wa Haki za Binadamu Waitaka UDSM Kumfutia Adhabu Abdul Nondo
Watetezi wa Haki za Binadamu Waitaka UDSM Kumfutia Adhabu Abdul Nondo " Wasipofanya HivyoTutawafikisha Mahakamani"
![]() |
Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa amesema kuwa wataandika barua ya kuuomba uongozi wa UDSM kufuta adhabu waliyompa Abdul Nondo ya kusimamishwa masomo kwa hadi kesi yake itakapomalizika na endapo watashindwa kufanya hivyo basi, THRDC watachukua hatua za kuufikisha uongozi huo mahakamani kudai haki zaidi.
Juzi Machi 26, 2018 Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ulitoa taarifa ya kumsimamisha masomo, Abdul Nondo hadi kesi mbili zinazomkabili mkoani Iringa za kutoa taarifa za uongo mtandaoni na kudanganya kutekwa zitakapomalizika.
Labels: News
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home