MAISHA HATIMAYE: DAY 2
Huu ni muhtsari wa mahubiri ya MAISHA HATIMAYE yanayoendelea Jijini Mbeya pia yanarushwa live kupitia Morning Star Tv na Radio yakiletwa kwenu na Chama cha Wajasiriamali na Wanataaluma Waadventista nchini Tanzania (ATAPE) huku mnenaji akiwa ni Makamu wa Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Ulimwenguni Mchungaji Geofrey Gabriel Mbwana toka nchini Marekani.
JE, MAISHA NI NINI?
- Wengine Maisha mazuri kwao, ni kupata Gari, Nyumba, Pesa na vitu vingine vya Thamani sana. Lakini Je, maisha Ya Thamani/ Maisha Mazuri Ni Nini?
- Maisha si mali, maisha si kutafuta Pesa, Maisha si kuwa na Nyumba na vitu vya Samani ndani Yake. (KUMBE VITU/ MALI KAMWE SI MAISHA).
"DHAMANA YA THAMANI KUU"
WIMBO: MAISHA HATIMAYE (GOSPEL FRIEND)
Dhamana ni kitu ambacho ni cha thamani kubwa na umepewa ili ukitunze maana si chako.
- Kitu cha thamani Kubwa Mno Kuliko kitu kingine chochote chini ya Jua.
- Wakati Mwingine kupewa kitu cha thamani kunakufanya uwe wa thamani pia. Na hivyo inatakiwa ukitumie kwa uthamani wake pia.
- Kupewa kitu cha thamani ni Kuaminika, kuheshimika, kupendwa na inahitaji kuurudisha upendo kwa namna ya pekee.
- KUNA KAWAIDA AMBAYO SI YA KAWAIDA.
Karne ya 21 inafanya mambo flani ya kawaida sana lakini sio ya kufanya kawaida kama wanavyoyafanya.
-LEO KUUA IMEKUWA KAWAIDA LAKINI SI, KAWAIDA-
- Kitu cha thamani Kubwa Mno Kuliko kitu kingine chochote chini ya Jua.
- Wakati Mwingine kupewa kitu cha thamani kunakufanya uwe wa thamani pia. Na hivyo inatakiwa ukitumie kwa uthamani wake pia.
- Kupewa kitu cha thamani ni Kuaminika, kuheshimika, kupendwa na inahitaji kuurudisha upendo kwa namna ya pekee.
- KUNA KAWAIDA AMBAYO SI YA KAWAIDA.
Karne ya 21 inafanya mambo flani ya kawaida sana lakini sio ya kufanya kawaida kama wanavyoyafanya.
-LEO KUUA IMEKUWA KAWAIDA LAKINI SI, KAWAIDA-
- Tangu vita vya kwanza vya Dunia watu wanauana na kuuana imekuwa kawaida lakini SI KAWAIDA.
- KAMA HALI INAENDELEA KUWA HIVI NA DUNIA IMEJAA VIFO
JE, MAISHA NI NINI?
- Wengine Maisha mazuri kwao, ni kupata Gari, Nyumba, Pesa na vitu vingine vya Thamani sana. Lakini Je, maisha Ya Thamani/ Maisha Mazuri Ni Nini?
- Maisha si mali, maisha si kutafuta Pesa, Maisha si kuwa na Nyumba na vitu vya Samani ndani Yake. (KUMBE VITU/ MALI KAMWE SI MAISHA).
- Mali inaweza ikakupumbaza na kukufanya uifanye kuwa maisha lakini vyote hivyo ni ubatili.
- Wengine husema maisha ni Maadili ya Dini..
Je, Haya Maisha Yanatoka wapi?
- Maisha ni uhai unavyoutumia huo uhai. Jambo la Msingi ni hili;
Hakuna Maisha Bila Uhai.
- Haupatikani mahali popote duniani, hospitali, dukani, maabara, sokoni wala mahali popote. Je, unapatikana wapi sasa huo uhai?
- Mungu amejifunua katika maandiko kwa namna ya ajabu sana na alimtoa mwanawe wa pekee ili aje duniani akautoa uhai wake.
- Mungu wetu aliumba na kutoa uhai kwa Viumbe vyote vilivyoko duniani. Wanyama, ndege, mimea na kila namna ya vitu vyote viendavyo kwa uhai.
- Siku ya Sita alimuumba mwanadamu kwa Mfano Wake.
Maisha yako yasiharibiwe na vitu ambavyo ukivitazama vinakufanya uwe na majonzi, vinavyokuhabia furaha yako... VIKO VITU VINGI AMBAVYO MUNGU ALIUMBA VYA AJABU NA KUPENDEZA, KAA NAVYO NA MAISHA YAKO YATAKUWA NA FURAHA SIKU ZOTE.
Zipo Nadharia Nyingi zinazoelezea namna ambavyo dunia hii ilitokea. Lakini Leo Kataa kwa sababu wewe una thamani kuu mbele za Mungu.
ALIKUUMBA KWA MFANO WAKE NA AKAKUPATIA PUMZI YA UHAI.
MUNGU AKUONGOZE KATIKA KULITAMBUA HILI. LEO NAKUTANGAZIA WEWE KUWA
KILA MWANADAMU ALIYE CHINI HAPA DUNANI LEO NA AUTHAMINI UHAI AMBAO MUNGU AMEMPATIA. KUTOKA KATIKA SURA NA MFANO WAKE..
MUNGU ANAKUTHAMINI MNO. THAMINI UHAI ALIOKUPA..
Wimbo: Namba 5-Na Tumwabudu Mfalme Mtukufu
Imeandaliwa na;
MALIMA, K.
- Wengine husema maisha ni Maadili ya Dini..
Je, Haya Maisha Yanatoka wapi?
- Maisha ni uhai unavyoutumia huo uhai. Jambo la Msingi ni hili;
Hakuna Maisha Bila Uhai.
- Haupatikani mahali popote duniani, hospitali, dukani, maabara, sokoni wala mahali popote. Je, unapatikana wapi sasa huo uhai?
- Mungu amejifunua katika maandiko kwa namna ya ajabu sana na alimtoa mwanawe wa pekee ili aje duniani akautoa uhai wake.
- Mungu wetu aliumba na kutoa uhai kwa Viumbe vyote vilivyoko duniani. Wanyama, ndege, mimea na kila namna ya vitu vyote viendavyo kwa uhai.
- Siku ya Sita alimuumba mwanadamu kwa Mfano Wake.
Maisha yako yasiharibiwe na vitu ambavyo ukivitazama vinakufanya uwe na majonzi, vinavyokuhabia furaha yako... VIKO VITU VINGI AMBAVYO MUNGU ALIUMBA VYA AJABU NA KUPENDEZA, KAA NAVYO NA MAISHA YAKO YATAKUWA NA FURAHA SIKU ZOTE.
Zipo Nadharia Nyingi zinazoelezea namna ambavyo dunia hii ilitokea. Lakini Leo Kataa kwa sababu wewe una thamani kuu mbele za Mungu.
ALIKUUMBA KWA MFANO WAKE NA AKAKUPATIA PUMZI YA UHAI.
MUNGU AKUONGOZE KATIKA KULITAMBUA HILI. LEO NAKUTANGAZIA WEWE KUWA
KILA MWANADAMU ALIYE CHINI HAPA DUNANI LEO NA AUTHAMINI UHAI AMBAO MUNGU AMEMPATIA. KUTOKA KATIKA SURA NA MFANO WAKE..
MUNGU ANAKUTHAMINI MNO. THAMINI UHAI ALIOKUPA..
Wimbo: Namba 5-Na Tumwabudu Mfalme Mtukufu
MUNGU AKUBARIKI SANA
Imeandaliwa na;
MALIMA, K.
Labels: FAITH
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home