Thursday, 12 April 2018

Simba yaendelea kusafisha njia ya Ubingwa


Simba Noma Yaendelea Kusafisha Njia ya Ubingwa Yamchapa Mbeya City Jioni ya Leo

Tokeo la picha la simba vs mbeya city

Dakika 90 za mchezo wa Simba vs Mbeya City zimemalizika kwa mnyama kuibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya vijana Green City. Simba sasa imefikisha pointi 55, tofauti ya pointi 8 mbele ya Yanga ambao wana mchezo mmoja mkononi.

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home