Serengeti Boys Yatinga Fainali Michuano ya CECAFA
![]() |
Serengeti Boys wamefanikiwa kutinga kwenye hatua hiyo baada ya kuifunga Kenya kwa mabao 2-1 kwenye mchezo huo ambao umechezwa kwenye uwanja wa Muyinga.
Mabao ya Serengeti yamefungwa na Jafar Juma (21) na Kelvin Paul (62).
Labels: Sports
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home