Thursday, 5 April 2018

Liverpool yaonyesha ubabe dhidi ya Man City UEFA

Mchezo uliochezwa jana kati ya Liverpool dhidi ya Man City umemalizika huku Liverpool ikiibuka

Jurgen Klopp celebrates as Liverpool secure an emphatic first-leg lead over Manchester City in the Champions League
Jurgen Klopp akishangilia Liverpool walipojihakikishia ushindi katika hatua ya kwanza dhidi ya  Manchester City 
kidedea wa mechi hiyo kwa magoli 3 huku wageni wakiambulia nunge. Magoli hayo ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah, Alex Oxlade-Chamberlain and Sadio Mane katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo.

Salah slides to his knees as Roberto Firmino and Andy Robertson join him in celebrating his opening strike in the tie







Mchezo mwingine uliochezwa jana ulikuwa ule wa Barcelona dhidi ya Roma ambapo Barcelona wameibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1 yaliyofungwa na Gerrad Pique dakika ya 59 pamoja na Luis Suarez dakika ya 87 yakiwemo mabao mawili team pinzani iliyojifunga yenyewe(De Rossi OG 38, Manolas OG 56) na bao pekee la As Roma limepachikwa na Dzeko dakika ya 79.

Barcelona players celebrate after Daniele De Rossi's own goal put them 1-0 up with seven minutes remaining in the first half

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home