Friday, 9 March 2018

Tangazo la kuitwa Kazini


OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

          Kumb. Na. EA.7/96/01/I/108                                                      08 Machi, 2018

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 15–26 Februari, 2018 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo nikama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili.Katika orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.


Kuona majina ya walioitwa kazini CLICK HERE

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home